Music

Historia ya bongofleva

Historia ya muziki wa kizazi kipya au Bongo Flava kama unavyojulikana miongoni mwa wengi hivi leo una historia ndefu. Ni historia ndefu kiasi kwamba hivi leo wengi hatukumbuki tena hata muziki huu ambao hivi leo umetokea kuwa kipenzi cha wengi ulianzaje,ukapitia hatua na harakati gani mpaka kufikia hapa ulipo hivi leo.

Miongoni mwa mashuhuda wa mwanzo wa harakati za mwanzo kabisa za muziki wa bongo flava ni aliyewahi kuwa DJ maarufu nchini Tanzania kwa jina Mike Pesambili Mhagama(pichani).Mike sio tu miongoni mwa mashuhuda wa mwanzo bali pia ni miongoni mwa watu wachache walioamini katika muziki wa kizazi kipya tokea mwanzo.Kumbuka hizo ni zile enzi ambapo muziki huo ulikuwa ukichukuliwa kama “uhuni” tu na sio aina mpya ya muziki au burudani.Ni watu wachache sana walioweza kutabiri hatua ambazo muziki huo ungepiga miaka kumi au kumi na tano baadaye.
Lakini pia Mike amekuwa akikerwa na jinsi ambavyo kumekuwepo na upotoshwaji au upindishwaji wa vipengele fulani fulani muhimu vya historia ya muziki huo. Katika kujaribu kuiweka vyema historia hiyo,Mike Mhagama ameandika kwa mapana na utulivu wa kina kuhusu harakati za mwanzo za muziki wa kizazi kipya,suluba walizopitia yeye na watangazaji wenzake katika kuutambulisha muziki huo,wadau mbalimbali anaowakumbuka katika harakati hizo,wanamuziki wenyewe,promoters wa muziki nk.

Pia Mike Mhagama,anaweka wazi kitu ambacho watu wengi wamekuwa wakijiuliza;Nini chanzo cha neno Bongo Flava? Nani mwanzilishi wake?Kwa jibu hilo na historia nzima,kwa jinsi anavyoikumbuka Mhagama, msome kuanzia hapo chini,kwa maneno yake mwenyewe, kama tulivyoyanakili kutoka katika blog yake(kwa ruhusa na baraka maalumu).Habari imegawanyika katika sehemu nne ili iwe rahisi kwako kuzisoma na  kuelewa vyema anachokizungumzia Mike Mhagama. Mwenyewe anasema yawezekana kabisa asiwe sahihi kwa asilimia zote na ndio maana anapenda kukaribisha hoja,maoni na masahihisho yoyote kutoka kwako msomaji.Mike Mhagama hivi sasa anaishi huko Los Angeles,California nchini Marekani.

CHIMBUKO LA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA TANZANIA NA MAANA HALISI YA NENO BONGO FLAVA.
Moja kati ya mambo niyapendayo mno maishani ni muziki.Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa muziki si tu ule wa nje lakini kwa karibu ule wa nyumbani hasa muziki wa dansi na ule wenye umaarufu sana hivi sasa ujulikanao kama Bongo Flava (Muziki wa Kizazi Kipya).Katika mapenzi hayo imekuwa kama bahati kuwa mmoja wa vijana wengi tuliobahatika kuuona muziki huu wa kizazi kipya ukizaliwa na pengine bahati zaidi bila kusita kusema;kuwa mmoja kati ya wale tulioanzisha kusukuma gurudumu la muziki huu kufikia hapa ulipo na nafasi yake kutambulika si tu Afrika Mashariki bali pia kwa sasa duniani kwa ujumla.

Kama ilivyo kwa aina zingine za muziki Tanzania,mfano muziki wa dansi basi utakuwa mkosefu wa fadhila bila kujumuisha majina kama Patrick Balisidya,Mbaraka Mwaruka Mwinshehe,Salum Abdalah na hata Remmy Ongara.Hawa ni vinara na walifanya kila wawezalo kuja na ubunifu si tu kuvutia wateja wao bali kuutangaza muziki wao ndani na nje ya nchi na kuipa Tanzania kitambulisho chake kwenye jukwaa la sanaa ya muziki.Kazi za wanamuziki hawa zilifana sana kwa ushirikiano mkubwa na chombo ambacho kwa Tanzania ni muhimu sana katika kueneza au kutambulisha kitu kipya,RADIO.Watangazaji kama Mzee Ibrahim Chimgege,Enock Ngombale,Timothy Pata,Abisai Stephen,Seif Salum Nkamba na Julius Nyaisangah chini ya ma-bwana mitambo mahiri kama akina James Mhilu na Crispin Lugongo wanastahili pongezi kwa kiasi kikubwa katika kurekodi na kusimamia mitambo wakati wanamuziki hawa wakitafuta majina na namna ya kujitambulisha kwa jamii itakayosikiliza muziki wao.Bahati mbaya huwasikii sana watu hawa katika zinazoitwa historia kwa sababu wengi ni rahisi kuwasahau lakini mchango wao ni mkubwa sana na unastahili heshima hasa unapoandika au kuizungumzia historia ya muziki wa dansi Tanzania.

Nimetoa mfano wa hali halisi kwa ufupi kuhusu muziki wa dansi ili kukupa nafasi ya kujua kwa undani kile ambacho kinakweza kichwa cha habari hapo juu.Nia yangu hasa ni kuandika yale niliyoyaona na uzoefu wangu katika muziki huu wa sasa maarufu kama Bongo Flava.Muziki huu umeshika kasi na unapendwa sana hivi sasa kila kona.Ni faraja kuona hata wale walio ughaibuni siku hizi si ajabu kumkuta mtu ana albamu jpya la mwanamuziki wa Bongo Flava akiicheza ndani ya nyumba yake au garini kwa fahari.Inafurahisha kuona mapenzi kwa muziki huu yamekuwa makubwa na hilo ndilo lengo kuu.

Pamoja na yote haya,kama ilivyo kwa kila jambo ni vyema historia yake ikawa nyoofu na si kama ilivyo sasa ambavyo imekuwa ikipindishwa pindishwa mno,sijui kama ni kwa makusudi au kwa wengi kutojua harakati na wanaharakati walioufikisha muziki huu hapa ulipo.Kwa kuandika kwa usahihi yale yaliojiri juu ya chimbuko la muziki huu tutakuwa tunawatunzia wanetu na wengineo haki ya kuuelewa na kuutukuza zaidi muziki huu na msimamo wake katika jamii ya leo na ijayo.Shukrani labda nizitoe kwa Kaka Bonny Makene na Uncle michuzi kwa kunisukuma kujaribu kuandika nikijuacho juu ya muziki huu.

Kama nilivyododosa hapo juu kuhusu muziki wa dansi basi sasa niingie kwenye muziki huu wa kizazi kipya.Muziki huu ni ule ambao unajumuisha mitindo mbali mbali ambayo zamani tulizoea kuona ikipigwa na watu wa nje ya Tanzania kuanzia Hip Hop,R&B,Zouk na hata Soul.

Katika Hip Hop ya Tanzania pia utakosa fadhila kama hutotaja vijana wa mwanzo kabisa ambao kuanzia mivao yao na kufoka foka kwao kulikuwa ni burudani na ushawishi tosha kwa watu kuanza kudadisi kuhusu maana halisi ya utamaduni huu hasa Tanzania.Kwa wakati huo ilionekana kama uhuni tena wa kupita kiasi.Nitawataja wachache ninaowakumbuka ambao kila kukicha ukigongana nao kwenye Night Clubs,Samora Avenue pale Salamander basi ulikuwa unachoka mwenyewe.Nakumbuka vijana kama John Simple,Dj Rusual,The BIG One,Babu Manju,David Nhigula,Abdulhakim Magomelo,Kessy,Ibony Moalim,Tom London,OPP (now Jay P) na Dj Ngomeley.

Tukiendelea hao niliowataja hapo juu walikuwa chachu katika uvaaji wa kihip-hop na katika kughani na sijui kama kuna mtu atasahau watu kama Fresh XE Mtui,BBG (alianza na Mr II),Adili kumbuka,KBC (Mbeya Tech),Saleh Jabir,Samia X,THE BIG,Rhymson,2Proud.Deplowmatz na wengineo wengi ambao walikuwepo na wakighani katka school parties au matamasha ya mtaani kabla hata ya kurekodi nyimbo zao studio.

Kwa mara ya kwanza pia promoters kama Joe Kusaga na Abdul hakim Magomelo walionekana kutobaki nyuma katika ukuzaji wa sanaa hii ambapo waliandaa matamasha mbali kama Yo! Rap Bonanza na Coco beach Bottle Parties kwa ajili ya kuwapa nafasi wale wenye uwezo wa kughani.Matokeo yake yalikuwa ya kufurahisha kwani kila mmoja alikuwa na shauku ya kuingia katika gemu.

Kwa vile sio watu wote walikuwa na uwezo wa kughani lakini pia kulikuwa na wale wenye kuimba kama wanamuziki wengi wa Marekani kwa kupitia matamasha mbali mbali kwenye Jumba la utamaduni la Urusi,Korea na mengineyo yalikuwa yakiandaliwa hasa na wanafunzi wa shule mbali mbali za sekondari jijini kama Forodhani pia matamasha yaliyokuwa yakifanyika kando kando ya ufukwe ambako wengi wenye kutaka kuimba walijitokeza.Hapa tunakumbuka kundi kama la Mawingu na mwana dada Pamela,mwanadada Stara Thomas na Judith Wambura ambao uwezo wake wa kughani na kuimba kama Mc Lyte ulimpa tafu hasa alipofanya hivyo kwa mara ya kwanza ndani ya kipindi cha DJ show ya Radio One,shukrani kwa Ipyana Malecela Mkwavi (RIP) kwa zawadi ya LP yenye instrumental (ala) tupu aliyonipatia kama zawadi aliporudi toka UK kwani instrumental ya single “Keep,Keeping on” ndiyo iliyomtambulisha Jay Dee wa leo Radioni kwa mara ya kwanza japokuwa kabla ya hapo alikuwa mwimbaji wa kwaya kanisani lakini mweye kusita kuingia kwenye muziki wa kidunia.Pia Kundi la R&B lililojulikana kama Four Krewz Flava pia Herbert Makange ambaye pia alikuwa akiimba.

Naweza nikawa nimesahahu majina machache hapo juu lakini kwa ufupi hao ni baadhi ya watu wa mwanzo kabisa kuuingiza masikioni mwa jamii muziki wa kizazi kipya pengine hata kabla ya chombo kilichoipaisha juu zaidi..RADIO.Na ninaposema Radio simaanishi Radio nyingine bali Radio One Stereo kama Radio pekee yenye kujivunia juu ya ukuaji wa muziki huu wa kizazi kipya kufikia hapa ulipo.

Lakini uko nako hakukuwa na mteremko,mambo yalikuwa mengi na mazito mpaka muziki kujipenyeza na kukubalika.Je nini kilichochea mapambano ya kuuchomeka muziki huu Radioni na kuupa nafasi ya kupigwa sambamba aina zingine za muziki kama ule wa dansi nk? nani alihusika katika harakati hizo na nini kilifuata? ugumu huo ulitokana na nini?

Mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka 1994 kituo cha Radio kilikuwa kimoja tu kinachomilikiwa na serikali na wanamuziki wengi wa awali Tanzania walitambulika kutokana na nyimbo zao kupigwa katika kituo hicho hasa kwenye vipindi mbali mbali hasa kipindi maarufu cha kilabu Raha Leo Show.Japokuwa hakukuwa na mfumo maalumu wa mahojiano na wanamuziki ndani ya Radio Tanzania lakini kipindi hiki kilionekana kumaliza karibu kila kitu katika utambulishi wao jkwaani na mpaka jina la mpiga ala au sauti wanazoimba kutoka safu ya mbele,kati hata nyuma.Mara nyingi onesho hili lilikuwa likifanyika LIVE.

Wanamuziki ninaowazungumzia ambao walipewa nafasi kwenye kipindi kama hiki ni wale waliokuwa wakipiga muziki wa dansi na pengine taarabu na kwaya japo hawa hawakuwa na nafasi sana wakati huo.

Mara baada ya serikali kulegeza masharti kidogo kwenye soko huria,hatimaye watu binafsi waliruhusiwa kuanzisha Radio binafsi na kwa kuanzia walipewa masafa mafupi kwanza kwa sababu za kiusalama na kupima uwezo wa kumiliki na kuendesha chombo hiki muhimu.

Moja kati ya Radio hizo za mwanzo kuanzishwa ni Radio One Stereo iliyokuwa ikipatikana katika Megahartz 99.6 FM na kuanzishwa kwa kituo hiki ama kwa hakika ilikuwa ni mwisho wa ukiritimba na ushindani ulianza rasmi.Baadhi ya watangazaji waanzilishi ambao waliombwa na mmiliki ambaye ni Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Mzee Reginald Abraham Mengi ni Mikidadi Mahamoud ambaye alikuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Utangazaji,Charles Hillary aliyekuwa Mtayarishaji Mkuu wa vipindi na baadaye Mratibu wa kituo na Julius Nyaisangah aliyesimamia vipindi vya burudani na usomaji habari.Hawa wote walitokea Radio Tanzania Dar Es salaam.

Mchango wao kwa watangazaji chipukizi ni mkubwa na haupimiki kwa wale ambao walipitia mikononi mwa hawa wakongwe bila shaka watakubaliana nami.Walihimiza kufanya kazi kitaaluma ,walitoa mafunzo na nidhamu ya hali ya juu tuwapo kazini juu ya utangazaji.Hakika walifunguaa ukurasa mpya kwenye kitabu cha utangazaji Tanzania.

Darasa la kwanza kuajiriwa mwaka 1994 lilikuwa na chipukizi kama Taji “Master T” Liundi,Deo “Best Friend” Mshigeni,Flora Nducha na Runkim Ramadhani Nyamka.Kila mtu alipewa angle/nafasi yake ya kujidai na kipindi anachoweza kumudu.Mfano Taji Liundi alikuwa katika vipindi vya muziki vyenye kutoa maudhui na elimu juu ya mitindo mbali mbali ya muziki na fashion,Taji alikuwa ni mchambuzi.Runkim “Zipompapompa” Nyamka yeye alikuwa mcheza muziki DJ fundi na alikabidhiwa vipindi vile vya ufundi wa kuchanganya muziki na mara nyingi wakati wa Weekend.

Radio lianza kukua kwa kasi huku Radio zingine zikianzishwa kukuza ushindani.Hivyo kituo kilihitaji darasa lingine kupambana na ushindani huo na darasa hilo lilikuja mwaka 1995 likinijumuisha mimi,Sunday Shomari na Peace Kwiyamba.Binafsi nilipewa jukumu la kusaidiana na Taji Liundi katika uchambuzi ndani ya vipindi mbali mbali,Sunday Simba Shomari alishirikiana na karibu kila kipindi kuleta mchangayiko na Peace alishirikiana kwa karibu na Deo “Best Friend” Mshigeni katika vipindi vya salamu na muziki wa taratibu.

Lakini mbali ya vipindi vya burudani uongozi wetu hapo baadaye uliona ni vyema baadhi yetu tukasoma taarifa za habari na kuripoti kupitia vipindi vya Current Affairs kama Nipashe n.k.Peace Kwiyamba na miye tulibahatika kuingia katika upande mwingine wa kituo na kuwa wasomaji kamili wa taarifa ya habari na maripota.Tulipata mafunzo yetu pale Radio Tanzania Dar Es Salaam chini ya wakufunzi kutoka chuo kikuu cha Whitwatersand kilichopo Afrika kusini.Mafunzo haya yalidhaminiwa na serikali kwa pamoja na mfuko wa Ebert Stiftung nchini Tanzania.

Taji “Master T” Liundi alikuwa ni kivutio cha aina yake si tu kwa uwezo wake wa kuchambua mambo mbali mbali,bali pia kwa mahojiano yenye ukina na wanamuziki mbali mbali,uwezo wake wa kuongea lugha zaidi ya tatu na kwa ubunifu.Ikumbukwe yeye ndiye mwanzilishi wa neno “Chombeza”,neno alilolibuni kumaanisha kubembelezana kiaina kati ya wapendanao hasa nyakati za usiku alipokuwa akipiga kipindi maalumu cha nyimbo za taratibu.Neno hili sasa ni maarufu sana huko Tanzania.

Master T pia alikuwa na ushawishi mkubwa sana hasa kwa vijana ambao wengi walikuwa ni wasikilizaji wa vipindi alivyokuwa akiviendesha Radio One.Aliwalenga pia vijana waliokuwa na mwelekeo wa kuingia katika muziki wa kizazi kipya na hakusita kujitolea kuwashauri kwa ukaribu na hata kujichukulia muda wake wa ziada kushiriki kwenye mazoezi na wakati mwingine hata kuwalipia sehemu hizo za mazoezi.Kwa vile sasa tulikuwa timu moja Taji alinishirikisha sana katika mambo mbali mbali yahusuyo kazi na hata nje ya kazi.Tulikuwa bega kwa bega kwenye matamasha mbali mbali yaliyokuwa yakiandaliwa na vikundi vya utamaduni vya shule mbali mbali za sekondari jijini.

Kwa ukaribu huu mkubwa kati yangu na Taji nia hasa ilikuwa ni kubadilisha mtazamo wa muziki Tanzania kwani mpaka wakati huo ni nyimbo za Marekani na nchi zingine za Afrika ndizo zilizokuwa zikichukua nafasi katika Radio One’s Top Ten,Chaguo la msikilizaji na DJ Show vipindi ambavyo vilikuwa ni jahazi na vilibeba sura ya kituo.Vipindi hivi tuliviendesha kwa umahiri mkubwa huku tukipokezana na mwenzangu Master T.

Mabadiliko haya tuliyokuwa tukiyalenga ni yalikuwa hasa ni kujaribu kuupa nafasi muziki wetu hasa ule wa kizazi kipya katika show kubwa nilizozitaja hapo juu,lakini piajitihada zetu hazikuwa na mteremko hata kidogo bali vikwazo pia,vikwazo hivyo vilimweka Taji katika wakati mgumu zaidi na kufanya ajiulize mara mbili mbili kwamba yuko kwenye Radio yenye mabadiliko kwa manufaa ya nani zaidi kama si kizazi kipya?

Nitatoa aina mbili ya vikwazo tulivyokumbana navyo kati ya vingi ambavyo havikutaka kutoa nafasi kwa wanamuziki wetu wa kizazi kipya kuutangaza muziki wao.Na vikwazo hivi zilifanya yeyote aliyetaka kwenda kinyume aidha kupoteza kazi,kusimamishwa kazi au kupewa onyo kali kwa maandishi.

Mosi: Kutokana na mpangilio wa vipindi na kwa matakwa ya watayarishaji wakuu ilikuwa ni marufuku kupiga muziki wa ndani ya Tanzania zaidi ya ule wa dansi bila muziki huo kusikilizwa na mmoja kati ya watayarishaji na kuukubali.Zaidi ya hapo ni ruksa kupiga muziki wowote kutoka Afrika au Marekani mradi tu uwe ni clean version (toleo lisilo na lugha chafu).

Na Pili: Si ruksa kufanya mahojiano na mwanamuziki wa kizazi kipya au asiyefahamika bila mwanamuziki huyo kufanyiwa usaili na watayarishaji (nikiwa na maana wakongwe) niliowataja hapo juu.

Hayo ni machache tu,lakini yalituweka katika wakati mgumu sana.Kitu kimoja tulikubaliana na watayarishaji ni suala la kutopiga muziki weneye matusi na sote tulilipinga hilo lakini kwa haya mengineyo hatukuwa katika level sawa.Wengi tulionelea kuwa pengine tunarudishwa enzi ya Radio Tanzania bila kujua na tulipanga kupigania hilo kwa nguvu zote.

Mimi na Taji tulipata barua kadhaa za onyo na hata kuhamishwa vipindi wakati fulani.Lakini hilo halikutuzuia kuongea kwa sauti juu ya kile tulichoona si haki.Tulitaka uhuru zaidi kwenye vipindi tulivyokuwa tukiendesha ili kipindi maarufu kama Top Ten yetu ipambwe na muziki wa kizazi kipya na mchanganyiko wa miziki ya aina zingine.Hiyo ilikuwa ni ndoto yetu kila kukicha.

Kwa jitihada hizi za kupigania muziki huu wa kizazi kipya uende hewani sambamba na aina zingine za muziki bila ukiritimba au masharti uituweka katika nafasi mbaya kiasi sio kazini tu bali hata mitaani ambako baadhi walituona kama tunaiga sana u-Marekani na kwamba kwa kutaka kupiga nyimbo kama hizi za kizazi kipya basi sisi ni wahuni tu na labda lengo letu kuu lilikuwa ni kutaka kuwafurahisha watu wa makundi yetu tu,kwa mtazamo wao watu wa makazi ya hali ya juu kama Oysterbay,Masaki n.k bila kujua binafsi nilikuwa nikiishi (Mbagala Kwa Makuka) mbali kabisa na maeneo wanayoyasema.Lakini lengo letu lilikuwa ni kutenda haki kwa kila mwanamuziki hata kama wa kizazi kipya bila kujali wasifu wa wanakotokea.Japokuwa mwanzo wao ulikuwa mgumu kwani mashairi katika nyimbo zao yalikuwa lege lege na kutokana na ufinyu wa viwango vya studio wakati huo midundo/mipigo ndani ya miziki yao ilionekana kutokuwa na mpangilio,lakini tulihoji kwa nini wasipewe nafasi tu kwanza halafu tuone jamii itawapokea vipi? ilikuwa si sahihi kukataa kuiga nyimbo zao na kufanaisha viwango vya urekodi na vile vya wanamuziki wengine wa kimataifa ambao nyimbo zao mpaka zilikuwa zikichosha.

Mambo yalikuwa magumu na yasiyotabirika kutokana na harakati hizi.Hatimaye Master T aliondoka Radio One na kwenda jijini Mwanza ambako Radio (Radio Free Africa) nyingine ilikuwa ikianzishwa.

Baada ya Master T kuondoka nilikabidhiwa vipindi vitatu mfululizo (DJ Show,Chaguo La Msikilizaji,na Top Ten) kuviendesha,kati ya hivyo DJ Show ilikuwa weekdays na vingine weekly,ilikuwa mshtuko na kwa kweli kazi ngumu lakini kwa vile nilipenda na bado naipenda sana kazi ya utangazaji sikusita kuendeleza kasi ile ile aliyoiacha Taji japokuwa siwezi kusema kuwa pengo lake lilizibika.Lakini tulikuwa bado tukibadilishana mawazo kila mara tukiongea kwenye simu akiwa Mwanza.Moja kati ya msisitizo katika kila mazungumzo yetu ilikuwa ni kukaza uzi na kamwe kutotetereka na yeye akianzisha mzimamo kama aliouacha huko Mwanza.

Mambo yalianza kubadilika na nadhani kwa sababu ya wakati pia.Makundi tuliyokuwa tukiyapigania ni makundi mawili makubwa na haya ni makundi ya mwanzo kabisa katika muziki wa kizazi kipya Tanzania ukiachilia mbali wale waliokuwa wakighani au kuimba bila kurekodi.

Kulikuwa na makundi ya Hip Hop kama Fresh XE Mtui,Kwanza Unit,Deplowmatz,Hard Blasters,Gangstar With Matatizo,Wagumu Weusi Asilia,Young Da’ Mob,II Proud,Saleh Jabir,Samia X,Bugz Malone,Sos B,Afro Reign na flava kama za akina Mohd Momella,4Kruz Flava,Stara Thomas, Pamela na Mawingu Band,Connie Francis,Jungle Crewz Posse,Kamakazi Soldiers(6-7 years old kids),Mac Mooger,E-Attack,Afro Reign (chini ya Seba Maganga),Bantu Pound,Hardcore Unit/immeditation Kingdom nk.

Pia kulikuwa na makundi ya Reagge kama Inno Nganyagwa,Pompidou,Kimbuteh & Roots Band,Justin Kalikawe,Innocent Galinoma (USA),Jontwa Jokeri,Makoya Man na wengineo.

Tusahahu kuwa hata muziki wa dansi uliingia katika kizazi kipya kwa kasi tofauti kabisa na kubadili mtazamo wa bendi kama Msondo na Sikinde.Nazungumzia band ya Diamond Sound,wana ikibinda Nkoi chini ya Eliston Angai.

Wakati pengine hawa makazi yao yalikuwa Dar Es salaam ambako pia studio nyingi zilikuwepo,tukumbuke pia mikoani kulikuwa na ma-rapa waliokuja juu ile mbaya.Kwa vile nilisoma mkoani mbeya namkumbuka Rapa aliyekuwa akiitwa BBG ambaye alikuwa kibwagizo tosha kwenye ma-disco mjini Mbeya kama RTC,Mount Livingstone,AA Cool Para wa Zanzibar,Comtish wa ZNZ,pia kundi la Bombastic nk.

Naweza kusema hawa ndio waliweza kufungua ukurasa mpya wa muziki wa kizazi kipya Tanzania na baadhi yao waliwahi kufanya mahojiano na Taji kabla hajaondoka kuelekea Mwanza na sio siri walikubalika japokuwa muziki wao ulianza kupigwa lakini sio sana kama ambavyo piganio letu lilitaka.

Japokuwa jitihada zilianza kuzaa matunda,kazi sasa ilikuwa kwa wanamuziki wenyewe kuhakikisha wanauweka ulimwengu wa Tanzania sawa na kwamba jitihada na harakati zetu za kuupigania muziki huu uende hewani haziangushwi na kushindwa kwao.Tuliwaasa kupiga muziki wa kueleweka wenye maadhi si ya ki-Marekani zaidi au nje zaidi bali muziki wenye mtazamo wa kitanzania.

Tulishauri kuwa ili muziki uwe na nafsi basi ni vyema tukaweka vionjo vya kwetu zaidi kama wenzetu wa Afrika ya Kusini na mtindo wao Kwaito.Hata huko Marekani kulikuwa na mtindo tofauti kidogo wenye mahadhi ya hip hop ulioanzishwa na mkongwe Teddy Riley unaoitwa “New Jack Swing” ambao ulibaki kam Hip Hop ila yenye vionjo tofauti na ladha ya New York.Nilitoa mifano hii makusudi kwenye kipindi maarufu nilichokuwa nikiendesha cha DJ Show kwa sababu walengwa na wadau wengi wa muziki Tanzania walikuwa wasikilizaji wakubwa wa kipindi hiki.DJ show ndio ilikuwa kilabu Raha Leo Show yao na nilisisitiza sana kwenye mapinduzi ya kuwa na mtindo wetu mpya wenye ladha yetu wenyewe.

Kwa vile kwa namna moja au nyingine harakati zilionekana kuanza kuzaa matunda,nami niliona ni vyema nikauchukua mwanya huu kuzaa kile ambacho mwenzangu Master T alikuwa mstari wa mbele kukingia kifua ili kufanikisha azma ya kuwaweka vijana wa Tanzania na muziki wao wa kizazi kipya mbele ya watanzania lakini huku kukiwa na msisitizo wa “cha kwetu”.

Nilibahatika kufanya mazungumzo na mmoja wa wana Hip Hop mahiri nchini anayetokea kwenye kundi la Kwanza Unit Kibacha “KBC” Singo ambaye tulikuwa tukifahamiana kwa muda mrefu toka mkoani Mbeya ambako sote tulikuwa tukisoma miaka ya mwanzoni ya tisini.KBC alikuwa ni msomaji mzuri na muelewa wa mambo mengi ya Hip Hop.
Nilimweleza azma yangu ya kujaribu kuuingiza muziki huu hewani lakini kwa ushauri wa nini kifanyike ili tusichekwe kwa kuonekana tunaiga sana umarekani.KBC alicheka lakini alikubaliana nami na kusema hatuwezi kuibadilisha Hip Hop kufuata midundo yetu lakini tunaweza kuibadilisha kulingana na lugha pia vionjo vya kwetu.Lakini kwanza KBC alisema si kila mtu anaweza kufanya Hip Hop na lazima anayetaka kuingia katika game lazima ajue misingi ya muziki wenyewe.Nilikubali maoni ya KBC na niliuomba uongozi wa Radio one kugawa saa nzima,kuanzia saa 12 mpaka saa moja jioni katika siku moja ya wiki ili kutimiza haja hiyo,hasa hasa kuutenga muda huo kwa muziki wa Rap/Hip Hop tu na si kitu kingine ili kuupa muziki huu nafasi zaidi ya kusikika na kutambulika tofauti kabisa na ule wa kutoka The Bronx,Dirty Dirty South au South Central L.A.

Niliomba kwa uongozi ili KBC aongoze kipindi hicho lakini uongozi kwa sababu za kueleweka ulikataa na kunitaka niendeshe kipindi hicho mimi mwenyewe na KBC awe mgeni maalumu au mtoa mada katika kipindi hicho wakati wowote akiwa na nafasi.Kipindi kilikwenda hewani kwa mara ya kwanza na KBC alikuwa regular.


Matokeo yalikuwa mazuri kwani vijana wengi walikipokea kwa mikono miwili na kushukuru mchango wa KBC katika kipindi hiki.
Hip Hop ya Tanzania ilianza kubadilika na kuanza kuwa na sura na mwelekeo wa Tanzania kama tulivyotarajia kwani kwa mara ya kwanza mkali mwingine wa Hip Hop Ramadhani “Chief Rhymson” Mponjika alitoa single yake kwa kumshirikisha mkongwe wa miondoko ya dansi aitwaye Hassan Seyvunde na kibao ambacho kilitamba sana sio kwenye Radio tu hata kwenye TV kutokana na maudhui yake.Pia kundi lao la Kwanza Unit walikubali mwito na kuibuka na kibao kiitwacho Msafiri ambapo rekodi ilikuwa na kiitikio kilichodurufu rekodi ya mkongwe wa muziki wa dansi Tanzania al maarufu kama Mzee Mzima King Kikii Mwanza Mpango.King Kikii naye alijumuika na familia ya Kwanza Unit katika matamasha mbali mbali kuwapiga tafu na mara wimbo huo ulipopigwa katika matamasha hayo mapokeo yalikuwa ni ya kuridhisha na huo ndio ukawa mwanzo wa Hip Hop ya Tanzania kupanda chati na kukubalika zaidi.

Wakati haya yote yanatokea mkongwe mwingine kwa jina la 2Proud (sasa Sugu) naye hakuwa nyuma alitoa nyimbo ambazo zilikuwa gumzo na zenye ujumbe wa moja kwa moja kwa viongozi wa siasa Tanzania mpaka aliyekuwa Mratibu wa vipindi wa Radio One Charles Hillary alianza kukubali kazi za wasanii wa kizazi kipya na kuamua kuvunja baadhi ya masharti ambayo hapo mwanzo yalikuwa ni kikwazo.Charles Hillary kwa mara ya kwanza alikubali kupiga wimbo wa msanii wa huyu IIProud uitwao “Ni Mimi” katika moja ya vipindi ambavyo alikuwa akiviendesha.

Huu ulikuwa ni mwanzo mzuri na upanuzi mkubwa kwa muziki wa Hip Hop Tanzania ambao sasa ulianza kushamiri kila kona na kwa kasi kubwa.

Lakini changamoto haikuwa kwenye Hip Hop ya Tanzania tu bali hata muziki wa dansi nao ulianza kubadilika kutokana na wakati.Kama ilivyo kwa KBC na mchanganuo wake wa mawazo kwenye kipindi changu cha Rap time ambacho sio siri kiliwafungua macho vijana wengi waliotaka kuingia katika muizki katika miaka ya 90 ukiachilia wale wakongwe,basi katika dansi nako kulikuwa na mapinduzi yake.

Sote tunakumbuka bendi kama Diamond Sound ambayo ilikuwa ikipiga nyimbo nyingi za Congo na zikiimbwa kwa lugha ya kilingala.Niliwahi kumwalika kiongozi wa band hiyo Elliston Angai katika kipindi cha DJ Show na rapa wake mashuhuri Allan Mulumba Nkashama na kufanya nao mazungumzo ni namna gani wanaweza kushirikisha vionjo vya Tanzania zaidi katika nyimbo zao na Rap zao.Bila kusita walikaribisha wazo hilo na kama ilikuwa ni mgongano wa mawazo kumbe nao walikuwa wanatafakari namna ya kutawala soko la muziki wao kwa kuuza CD ambazo muziki wake utakuwa na mtazamo na ladha ya Tanzania.

Allain Mulumba kutokana na ubunifu wake alikuja na rap yake ya kwanza kabisa baada ya changamoto hiyo kwenye DJ Show ambayo alitumia tangazo la sabuni kuonesha muonjo huo.Tangazo lile lilikuwa na maneno kama “Omari mbona unajikuna sana,sio siri mamaa! ninawashwa sana ngwarariii ngwararaaa”.

Ndipo sote tulipokubali maapokezi ya muziki na kwa kutumia lugha yetu kumbe unalipa.Ukumbi wa Silent Inn ulilipuka kwa furaha ya Rap hiyo ambayo kwa mara ya kwanza ilipigwa usiku huo na kutambulishwa rasmi,mashuhuda wenzangu katika mapinduzi haya usiku huo pale Silent Inn walikuwa waandishi wenzangu Sebastian Maganga (Radio One),Farouq Karim (ITV Zanzibar),John Ngahyoma (ITV Dar) na Chacha Maginga (sasa TBC1) .Baada ya hapo tulishuhudia band nyingi zikiiga sana mtindo huu na kuibuka na rap za kiswahili kwenye miziki waliyokuwa wakipiga ambayo ina asili ya Congo.Tunakumbuka bendi kama FM Musica na zingine ambazo zilifuata nyayo.

Nanyambulisha haya kwa makusudi ili kuweka kumbukumbu sawa na kwa vile kuna   kusahahulika kwa matukio muhimu kama haya hasa inapofika wakati wa watu aidha wasiojua kumbukumbu hizi au kwa makusudi ya kukidhiana wanaandika zinazoitwa historia juu ya mabadiliko ya muziki wa kizazi kipya Tanzania bila ya kutaja mambo muhimu kama haya.

Na nikiri wazi kuwa pamoja na kuwepo kwa kipindi cha DJ Show ambacho ni cha kwanza kutambulisha muziki huu wa kizazi kipya hewani na kuwa kipindi pekee chenye heshima hiyo kabla ya kingine chochote,hivi leo husikii wengi wakikipa heshima yake na pengine kukisahau kabisa katika kumbukumbu za muziki huu tunaousheherekea hivi leo.Waulize wanamuziki wakongwe katika anga za muziki huu watakwambia ukweli huu.Pia kumekuwa na kusahaulika kwa waandishi wa kwanza kabisa kuandika habari za wanamuziki hawa kwenye makala na hata kuwafanyia mahojiano kwa mara ya kwanza.Waandishi kama Angetileh Osiah,Tom Kirumbi,Albert Memba ,Ibra Poza,Issa Michuzi au Juma Pinto.

Tukirudi kwenye Radio lazima nikubali baadaye pia kulikuwa na upinzani na vituo vingine ambavyo navyo viliendeleza muziki huu wa kizazi kipya kwa kasi kubwa sana.Pia watayarishaji wa muziki kama Enrique “Rick” Figueredo wa Sound Crafters pale Temeke,Joakim “Master Jay” Kimario wa MMJ Production,Boniphas “Bonny Luv” Kilosa wa Mawingu Studios,Paul “P” Funk wa Bongo Records (alianzisha kundi la vijna wa miaka saba lililopiga HipHop),Marlon Linje wa Don Bosco studio.Shukurani kwa kipindi cha Dr Beat chini ya KBC na Dj Bonny “Luv” Kilosa na Othman “OJ” Njaidi ambao waliendeleza libeneke katika mtindo ule ule wa ushindani lakini tukiwa marafiki wa karibu na kubadilishana mawazo mara kwa mara kwani sote lengo letu lilikuwa moja.Dr Beat ilikuwa chini ya Clouds FM.

Pia wadhamini na mapromota ambao walikuwa na moyo wa dhati katika kuendeleza sana hii ya muziki wa kizazi kipya.Na upozungumzia muziki huu basi huwezi kumsahahu Joseph ‘Joe” Kussaga na Abdulhakim Magomelo.

Lakini mimi binafsi mbali ya mkongwe Taji Liundi ambaye alifungua njia ya mapambano na harakati ili kuupa muziki huu nafasi yake kama ilivyo dansi na aina nyengine ya muziki,kamwe sitomsahahukijana mwenye akili “Genius” Dj Sebastian Maganga ambaye alipokea kwa dhati mikoba ya DJ SHOW baada ya miye kuachia ngazi.Sebastian ana nafasi ya pekee sana katika muziki huu tangu alipojiunga na Radio One toka Radio Tumaini,ikumbukwe pia Sebastian ni mwana HipHop aliyetoka na kundi la Afro Reign toka miaka hiyoo.Sebastian ni mbunifu na ndio yeye aliyenisukuma zaidi katika kuibadili DJ Show moja kwa moja na kuachana na nyimbo nyingi za Marekani katika kipindi cha DJ SHOW na pole pole tuliweza kufanikiwa kwa kushirikiana na DJ Jumanne kutoka Holland ambaye alitutengenezea promo nyingi za kipindi na kubadili usikivu wa kipindi hiki kutoka muziki wa Snoopy Dogg/Dr Dre mpaka ule wa akina Mr II/Kwanza Unit.

Na katika kufanikisha hilo kwa vile DJ Show ilikuwa inapiga muziki mchanganyiko lakini wa kileo.Siku moja tukiwa kwenye kipindi Sebastian aligusia mfumo wa kutenga muziki katika dakika 30 kila genre,kama tunapiga Reggae basi alishauri iwe dakika 30,kama R&B ya Tanzania basi tutenge dakika 30 nk.Nilikubaliana na wazo hilo kwani lingetufanya tutoe nafasi sawa kwa kila aina ya mtindo na sio upendeleo wa kupiga Hip Hop au R&B tu masaa yote mawili ya kipindi.

Ilipofika dakika 30 za muziki wa R & B,siku hiyo nilikuwa kwenye usukani na kwa mbwembwe nilicheza nyimbo ya kundi la R&B lililoitwa 4Krewz Flava na baadaye kuiunganisha na nyimbo nyingine ya Unique Sistaz.Kwa vile midundo,mpangilio,lugha na utaalamu wa muziki wenyewe kamwe huwezi kuufananisha na ule wa Soul 4 Real au SWV kutoka Marekani,tulipenda tutofautishe kidogo kati ya aina hizi mbili na ndipo session hii niliibatiza jina ambalo lingetofautisha R&B ya Marekani na ile ya kwetu….niliipa session hii jina la BONGO FLAVA.

Hii ilikuwa mwaka 1996 na ndio ulikuwa mwanzo wa neno BONGO FLAVA likiwa na maana muziki wenye mahadhi ya nje lakini wenye vionjo na ladha ya Tanzania na si vinginevyo lengo kuu ni kuitofautisha na muziki ule wa Marekani.Hip Hop ya Tanzania ilibaki na itabaki vile vile kama ilivyo,ila muziki wowote ule wa nje,mbali ya Hip Hop na DANSI ya Tanzania niliuita na kuufahamishakwa umma wa watanzania kama BONGO FLAVA ndani ya kipindi cha DJ SHOW cha Radio One.

Nikifikia tamati ya mtazamo wangu na jinsi nilivyoshuhudia muziki huu ukikua pengine kumekuwa na ubishi ambao kwa maana halisi nimeonelea nao niudodose kidogo hii leo.Nilipokuwa nyumbani Tanzania nilipata bahati ya kutembelea Clouds FM ambako mwenzangu Sebastian Maganga sasa ni Mkuu wa Vipindi na aligusia suala hili la chimbuko zima la muziki huu na neno BONGO FLAVA.Niliweka haya unayoyasoma wewe hapa bloguni kama yalivyo na niliomba yeyote mwenye kuona tofauti na ninauona ukweli kujitokeza lakini hakutokea mtu kupinga.

Nasema hivi kwa vile huko nyuma kuna waliodiriki kujitokeza/kujitangaza hapo mwanzo na kudai kuwa neno hili BONGO FLAVA ni jina lililotokana au kutungwa na wao,kitu ambacho mimi na mwenzangu Sebastian Maganga tunakipinga kwa sababu tunajua ukweli uko wapi.Watu hawa (tunafahamiana fika) waliombwa kuja studio za Clouds FM siku hiyo katika mahojiano maalum na kuuthibitishia umma juu ya dai lao lakini hakuna aliyetokea.
Ni kweli kila mtu na mtazamo wake katika kila jambo kutokana na alivyolishuhudia lakini ni vyema tukawa wakweli kidogo bila kupindisha mambo pale tunapotaka kuuhabarisha umma juu ya yale tunayotaka wayafahamu.Katika mnyambulisho huu hapa juu sio lengo wala nia yangu kumsuta mtu na inawezekana kabisa kama binadamu wa kawaida kuna mambo nimeyasahau,kama ndivyo basi ni vyema tukasahihishana ili kurekebisha mambo na sio kudanganya kwa kudhani ukweli kamwe hautojulikana na ndio maana nimeamua kuandika haya ili kuweka yale ninayoyajua wazi kwa faida ya kizazi kijacho na hata cha sasa ambacho kimekuwa kikipotoshwa na wachache.

Na kwa kufanya hivi sina nia hata kidogo ya kutaka au kuuukwa umaarufu,kwani nimekuwa maarufu toka nina miaka 19 na sihitaji wala silazimishi kuwa maarufu hivi leo.
Ieleweke kuwa haya yote ni katika kutoa elimu kama shuhuda wa mapinduzi ya muziki huu Tanzania kwani kumekuwa dhahiri na upotoshaji wa makusudi au wa kutojijua inapokuja katika mambo muhimu yanaohusu muziki wa kizazi kipya Tanzania.
Kwa mfano neno hili la BONGO FLAVA lilizaliwa na kutokea katika kipindi cha DJ Show na si vinginevyo kama ambavyo imekuwa ikidaiwa katika zinazoitwa historia za muziki huu wa kizazi kipya kutoka vianzio mbali mbali.
Mfano mwingine hai ni ule kuwa kuna kuna wanaosema TANZANIA MUSIC AWARDS imeanzishwa na mwanamuziki James Dandu (ambaye alikuwa ni rafiki yangu mkubwa) lakini watu wanasahau kuwa TANZANIA MUSIC AWARDS ilianzishwa na mwanamuziki wa zamani wa bendi ya Mawenzi/Prodyuza John Kagaruki chini ya kampuni yake ya Serengeti Production kwa kushirikiana na BASATA mwaka 1997 na sherehe za kwanza kabisa ambazo zilirushwa live na kituo cha ITV zilifanyika pale Whitesand Hotel.

Ni kweli mwaka uliofuata sherehe hizi hazikufanyika tena na zilipwaya.Lakini tusisahau kuwa mwaka 2000 kampuni ya Look Promotion kwa kushirikiana na Clouds FM walifanya tena onesho hili ikiwa ni mara ya pili kufanyika Tanzania.Na mwaka uliofuata bia ya Kilimanjaro kwa kushirikiana na mwanamuziki James “CJ MASSIVE” Dandu na kampuni yake ya Dandu Planet walizindua upya sherehe hizi ambazo zimekuwa zikifanyika kila mwaka toka wakati huo.

Mifano kama hii na mingineyo mingi tu inaleta mushkeri hasa inavyopotoshwa kwa makusudi ilhali mashuhuda wake tupo tena tukiwa hai.
SEHEMU YA MWISHO

Kufikia hatua hii basi labda niseme tu kuwa imefika wakati wanamuziki wa Hip Hop na Bongo Flava leo hii wana nafasi yao katika jamii ya Tanzania na wanapaswa kuenziwa,kukumbukwa na kuheshimika bila kuchanganya aina hizi mbili za muziki kwani ni vitu viwili tofauti kabisa lakini lengo likiwa moja.Kuna mambo mawili ambayo nadhani yakifanyika basi angalau kumbukumbu ya wale wakongwe walioanzisha harakati na mapinduzi katika muziki huu watadumishwa na wale wapya watajifunza kutokana na kuwaenzi wakongwe hawa.
Hapa tusisahau pia wakongwe waliokuwa wakipiga ianyoitwa Hard Core HipHop kama Fresh XE ambaye sidhani kama alibahatika kurekodi,Samia X,GWM,E-Attack,Underground Soul,Hasheem,KU Crew,Nigga One,D-Rob au II Proud na wengineo ambao walikuwapo hata kabla ya kipindi cha DJ SHOW au Radio One kuanza lakini hawakuwa na sehemu ya kuutangaza muziki wao.Hawa kamwe hawatasahaulika na wana heshima kubwa sana kwenye muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania.
Bila kutegemea “Awards” ambazo zinaonekana kuwa na dosari kila zinapofanyika kila mwaka kwa tuhuma za upendeleo nadhani imefika wakati mwafaka kwa muziki huu na wanamuziki wake kuwa na tuzo zake maalum zitakazofanyika kila mwaka na kuzitofautisha kabisa na zile tulizozioea za muziki mchanganyiko.
Kuwepo na utaratibu wa kujumuisha wiki ya tuzo hizo na usaidiaji wa jamii kwa wakongwe watakotumikiwa tuzo hizo kutembelea baadhi ya shule za msingi au sekondari na kutoa changamoto ya maisha na elimu juu ya muziki huu kwa ujumla kwa kizazi hiki kijacho.Pia hata kushiriki nao katika shughuli za usafi wa mazingira kwa siku hiyo.Huu ni mchango tosha na ishara kuwa muziki huu si uhuni ni sehemu ya maisha kwa kizazi kipya.
Vile vile sehemu ya mapato na udhamini wa onesho hili iende kusaidia shule masikini au ya watoto wasiobahatika na wenye ulemavu wa namna moja au nyingine.
Kwa kufanya haya na mengineyo mengi muziki huu sio tu utakuwa ni wenye kujijengea heshima bali kuweka kumbukumbu kubwa ya mapinduzi kwenye ulimwengu wa muziki Tanzania na hadhi yake kuwa ni ile isiyofutika kwa urahisi machoni na akilini mwa kizazi cha sasa na hata kile kijacho kwa muda mrefu.







                           BAADA YA HAPO KUNA HISTORIA YA MIZIKI MBALI MBALI


Historia za wasanii

UNAMJUA HUYU JAMAA  LL Cool J
James Todd Smith (amezaliwa tar. 14 Januari1968) ni rapa na mwigizaji wa filamu kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina la kisanii kama LL Cool J. LL Cool J inasimama kwa "Ladies Love Cool James".

Anajulikana sana kwa maballad yake ya kimahaba kama vile "I Need Love", "Around the Way Girl" na Hey Lover", vilevile kuanzisha kuanzisha hip-hop kama vile "I Can't Live Without My Radio", "I'm Bad", "The Boomin' System", na "Mama Said Knock You Out". Pia amepata kuonekana katika filamu kadha wa kadha.

LL Cool J ni mmoja kati ya wasanii wachache wa hip hop wa zama zake kuweza kupata mafanikio makubwa katika zake za kurekodi kwa zaidi ya makumi mawili. 

Ametoa takriban albamu kumi na mbili na kompilesheni ya vibao vikali kadhaa mpaka sasa, na albamu yake ya mpya kuwa ya mwaka wa 2008,s Exit 13, ambayo ni ya mwisho kwa LL kufanya kazi na Def Jam Recordings.

Kwa sasa anaishi mjiniManhasset, New York na watoto wake wa nne na mke wake. 

Maelezo ya awali
Jina la kuzaliwa
James Todd Smith
Amezaliwa
Asili yake
Kazi yake
Rapper, mwigizaji, baunsa
Sauti
Miaka ya kazi
1983–mpaka sasa
Tovuti
List ya Albam zake

                         


ALBUM
 Mr. Smith ni jina la kutaja albamu ya sita ya rapa LL Cool J. Albamu ilitolewa mnamo mwaka wa 1995. Baada ya kutofanya vizuri katika albamu iliyopita ya 14 Shots to the Dome, lakini hapa imekuwa kama msanii aliorudi kundini, kwa kuweza kwenda kwenye Platinum 2x na kuingiza vibao vikali vitatu kwenye 10 bora, "Hey Lover", "Doin' It", na "Loungin". Albamu hii ipo tofauti kabisa na matoleo yake ya awali, ambayo yenyewe yamefokasi sana katika hardcore rap, katika albamu hii LL anaonekana kuzingatia zaidi kwenye maballad ambayo hadi sasa anatamba nayo. Albamu hii ilikuwa ya kwanza katika albamu zake kuwa na ujumbe wa Parental Advisory.
Orodha ya nyimbo
  1. "The Intro (Skit)"
  2. "Make It Hot" (Imetayarishwa na Trackmasters)
  3. "Hip Hop" (Imetayarishwa na Trackmasters)
  4. "Hey Lover" (akiwashirikisha Boyz II Men) (Imetayarishwa na Trackmasters)
  5. "Doin' It" (akimshirikisha LeShaun) (Imetayarishwa na Rashad Smith)
  6. "Life As..." (Imetayarishwa na Easy Mo Bee)
  7. "I Shot Ya" (akimshirkisha Keith Murray) (Imetayarishwa na Trackmasters)
  8. "Mr. Smith" (Imetayarishwa na Chyskillz)
  9. "No Airplay" (Imetayarishwa na Chad Elliot)
  10. "Loungin" (ameshirikishwa na Terri & Monica) (Imetayarishwa na Rashad Smith)
  11. "Hollis to Hollywood" (Imetayarishwa na Trackmasters)
  12. "God Bless" (Imetayarishwa na Rashad Smith)
  13. "Get Da Drop On 'Em'" (Imetayarishwa na Trackmasters)
  14. "Prelude (Skit)"
  15. "I Shot Ya (Remix)" (ameshikirisha Keith MurrayProdigyFat Joe na Foxy Brown) (Imetayarishwa na Trackmasters)

Imetolewa
November 21, 1995
Imerekodiwa
1994-1995
Urefu
58:25
Rashad Smith
Chyskillz
Chad Eliott
Trackmasters
Easy Mo Bee
Tahakiki za kitaalamu
Wendo wa albamu za LL Cool J
Mr. Smith
(1995)
Single za kutoka katika albamu yaMr. Smith
  1. "Hey Lover"
    Imetolewa: October 31, 1995
  2. "Doin' It"
    Imetolewa: February 20, 1996
  3. "Loungin"
    Imetolewa: June 25, 1996












SINGLE – ‘Doin It’
"Doin It" is the second single from LL Cool J's sixth album, Mr. Smith, and was released on January 20, 1996 for Def Jam Recordings. Based around a sample of Grace Jones' "My Jamaican Guy", it also featured LeShaun, production from Rashad "Ringo" Smith and LL Cool J, with Erick Sermon producing the remix.
"Doin' It" was a success for LL Cool J, making it to #9 on the Billboard Hot 100 and #7 on the Hot R&B/Hip-Hop Songs Billboard charts. On the B-side was the previous single, "Hey Lover".
The remix featured on the soundtrack to The Nutty Professor samples the Art of Noise's "Moments in Love."
The crowd noise played throughout the song, shouting "Go Brooklyn", is sampled from "Top Billin'" by Audio TwoKeri Hilson sampled this song in her song "Do It" featuring Tank for her debut album In a Perfect World.
Single by LL Cool J featuring Leshaun
from the album Mr. Smith
Released
January 20, 1996
Format
Length
4:40
Rashad "Ringo" Smith, LL Cool J, Erick Sermon (remix)
LL Cool J featuring Leshaun singles chronology
"Hey Lover"
(1995)
"Doin It"
(1996)
"Loungin"
(1996)
Mr. Smith track listing
"Doin' It"
(5)
"Life As..."
(6)
All World: Greatest Hits track listing
"Doin It"
(14)
"Loungin"
(15)


LILY WYNE YONG MONEY BOSS

                                              

Dwayne Michael Carter, Jr. amezaliwa tar. 27 Septemba, 1982 ni mshindi wa Tuzo za Grammy- akiwa kama rapa wa muziki wa hip hop bora kutoka nchini Marekani.
Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Lil Wayne.
Alijiunga na studio ya Cash Money Records akiwa bado yungali bwana mdogo na akabahatika kufanya rekodi kadhaa katika studio hiyo.
Wayne alikuwa mmoja kati ya waliokuwa wanachama wa kikundi cha muziki wa rap cha Hot Boys.

Maisha ya awali

Alizaliwa kama Dwayne Michael Carter, Jr. na kukulia mjini Hollygrove karibu kidogo na mji wa New Orleans, Louisiana.
Akiwa na umri wa miaka kumi na moja, akakutana na Bryan Williams, rapa na ndiyo mmiliki wa studio ya Cash Money Records.
Baada ya makutano hayo, Wayne akarekodi rap flani ya michano katika studio hiyo ya Williams kwa kutumia chombo maalum cha kuweza kukujibu wakati unachana.
Na kwa bahati nzuri michano hiyo ilimwacha hoi mmiliki huyo wa studio na kuthubutu hata kumwingiza Wayne katika studio yake.
Wayne pia ana mtoto wa kike mmoja aitwaye Reginae Carter, aliyezaa na Bi. Antonia "Toya" Johnson, demu wake wa kitambo toka shule.
Wawili hao walikuja kuoana wakati ule wa Siku Kuu ya Wapendanao ya mwaka wa 2004, lakini wawili hao walikuja kutarikiana mnamo mwaka wa 2006.

Muziki

Albamu za Lil Wayne

§  1999: Tha Block Is Hot
§  2000: Lights Out
§  2002: 500 Degreez
§  2004: Tha Carter
§  2005: Tha Carter II
§  2008: Tha Carter III
EP albums
2007: The Leak

Filamu

§  Baller Blockin (2000)
§  Who's Your Caddy? (2007)
§  Fast and Furious (2009) (inakuja)
§  The Boondocks in the "Invasion of the Katrinians" sehemu ya  (2007)
§  "Access Granted" (2007) 
§  Hurricane Season (inakuja)
§  Lil Wayne Documentary (2009) (inakuja


Bi Kidude




Bi Kidude is an institution on Zanzibar, and remains East Africa’s greatest living musical legend. The diva of Zanzibar taarab, she also plays other musical styles including more ngoma-based unyago and msondo. Born Bi Fatuma Binti Baraka, Bi Kidude grew up in a family of seven in the Zanzibari village of Mfagimarigo. Her father was a coconut seller.
Bi Kidude?s exact date of birth is unknown, much of her life story is uncorroborated, giving her an almost mythical status. Kidude started out her musical career in the 1920s, and learnt many of her songs with Siti bint Saad. She has performed in countries all around Europe, Middle East and Japan and finally recorded her first solo album (Zanzibar, Retroafric Recordings) only six years ago, while in her mid-eighties. Recently she released a second locally-produced album (Machozi ya Huba, Heartbeat Records) with her traditional drums influencing the burgeoning Zenji Flava local hip-hop scene in one of the most remarkable juxtapositions of musical style in modern ?World Music?.

Since fleeing a forced marriage at the age of 13 and escaping her homeland of Zanzibar, Bi Kidude has led an extraordinary and varied career as a drummer, singer, henna artist and natural healer. Her first journey was to the mainland of Tanzania, where she walked the length and breadth of the country barefoot.

With renewed confidence and a new attitude to tradition (by now Kidude had thrown off her veil and shaved her head!) she returned, slowly to Zanzibar where she acquired a small clay house in the 1940's and settled down to life grounded in the traditional roots of society.

Her role as part of the Unyago movement, which prepares young Swahili women for their transition through puberty and excelled at the art of henna designing for young brides, manufacturing her own wanja application from age old recipes fit 'to make a rainbow shine.' To this day, Bi Kidude performs traditional unyago music and is still the island's leading exponent of this ancient dance ritual, performed exclusively for teenage girls, which uses traditional rhythms to teach women to pleasure their husbands, while lecturing against the dangers of sexual abuse and oppression.

Her many talents were acknowledged by Zanzibar International Film Festival (ZIFF) at the second Festival of the Dhow Countries in 1999, when she was awarded Lifetime Achievement Award for Contribution to the Arts.

Bi Kidude's is a remarkable story, one which challenges our perception of age, and of the role of women in Islam. She has never conformed to the media stereotype of a Muslim woman ever since she removed her veil. To see a ninety-something year old Muslim woman drink, smoke, flirt, dance and drum is a unique experience. To witness the transformation as she reverses the aging process and changes from a wrinkled granny into a vital shining star is nothing short of revolutionary.

In the summer of 2004 Bi Kidude toured Europe with Zanzibar's illustrious Culture Musical Club taarab orchestra. Midway through this tour, the whole of Zanzibar was thrown into shock and disarray when a rumor spread fast through the island that Bi Kidude had died. From the narrow streets of Stone Town to the barazas of N'gambo and throughout the villages this was the only topic of conversation as the island rapidly acquired the atmosphere of mourning. This rumor continued to spread even long after the offices of Busara Promotions had disseminated confirmation from Bi Kidude's European promoters that on the contrary, she was alive and very well. She was surprised to hear that people in Zanzibar think that she has died:
quot;Sijafa bado. Labda sababu watu hawajaonana nami sasa karibu mwezi. Lakini bado tunaendelea na safari na bado safari ndefu ya miezi miwili. Lakini sijambo, sina wasiwasi miye. Kuimba naimba na nguvu zote ambazo ninazo ili watu wafurahi."

? I haven?t died yet. Maybe people are saying that because they haven?t seen me around for almost a month. But we are still continuing our tour which lasts for two more months. Me, I'm well, I have no problem. Me I sing with all my strength and continue to make people happy.?

In 2006 ScreenStation Productions with Busara Promotions produced a 66 minute video documentary titled As Old As My Tongue: the Myth and Life of Bi Kidude.
"Over the last three years we have filmed with Bi Kidude and her extended entourage," says director Andy Jones. "From her humble home in a township on the edge of historic Stone Town to the grandeur of the Theatre de la Ville in Paris we have captured moments of love, jealousy, protection and exploitation of a witty and humble woman. Musical moments combined with highly personal observation form the trunk of our story. The music is extraordinary. From the seemingly poetic but really biting satire of the grand Taarab orchestras to the telling rhythms of primal sexuality expressed in her x-rated Unyago the film is punctuated with sensational live footage."
This intriguing and inspiring woman is a repository and leading exponent of Swahili culture. (Bi Kidude) herself says, “How can I stop singing? When I sing I feel like a 14-year old girl again.”

Discography:


Zanzibar (Retro Afric Retro 12, 1994)
Zanzibara, Vol. 4 (Buda Musique, 2007)

Booking:


Busara Promotions
PO Box 3635
Zanzibar, Tanzania
Tel: +255 24 223 2423 or +255 747 428478
email  busara@zanlink.com

 

MEJJA'S kutoka KENYA 

Mejja Meme Hadhija is one of the hottest Kenyan rappers today.

He started singing when he was in primary. He used to be part of a group called Ghetto Clan with his brother called Wambugu. Initially, he couldn't write his own songs, so he would borrow content, and sing it in school, and his schoolmates would give him encouragement
Celtel was holding a talent search and they were looking for three contestants in every province, so when they came to his province, he went for the competition and was among the top three, then later In the finals he managed to become number two where he won twenty thousand.
At that time he was going through hard times, so he came to Nairobi looked for Clemo talked to him and explained his situation and that’s when Clemo took him in.
His single, Jana kuliendaje was a major hit in 2008 and won him an award at Kenya's Chaguo la Teeniz
He wrote Kuliendaje out of bitterness for a friend of his called Omari, who would come drunk at night and throw me out in the cold, then, the following morning he would look for me and apologize saying he could not remember what happened.
He is signed to Calif Records, which is synonymous with two of Kenya's biggest music personalities, the rapper Jua Cali and the producer Clemo.


His album is called Hali Duni (Tough situations). 

 kundi la x- plastaz

X Plastaz are a hip hop group from Tanzania (East Africa) who merge Maasai chants, Swahili rhymes, reggae and other influences. They have toured and released music worldwide to much acclaim.
Biography
In the growing international African hip hop scene, the Tanzanian group X Plastaz is one of the most familiar names. Through concert tours in Africa, Europe and Latin America, a worldwide album release and tracks on compilations such as the Rough Guide to African Rap, they have become the ambassadors of East African urban music.

X Plastaz call their music ‘Maasai hip hop’, a unique mixture of tr ...See More
Description
Watch our videos online:
Nini dhambi kwa mwenye dhiki

Cheza

Furaha

Ushanta

Mic Moja

Msimu kwa msimu

Maasai reggae
...................................................................................................................................................................
 

AY - a.k.a Ambwene Yessayah

Background

Began his musical career at the tender age of ten.

While in primary school he participated in talent searches and frequently entertained guests at parties and weddings.

In 1996 while in high school he formed a group with his friends called S.O.G. it had three members including A.Y.They recorded an album and released it in the year 2000.

Career
In 2001 A.Y. decided to go solo and recorded his first solo album 'Raha Kamili'.

The first single off the album ?Raha Tu’(Pure Joy) was a huge success and topped the charts both on radio and T.V. and introduced A.Y. into the Tanzanian music scene.
 The second single 'Machoni kama watu'(a swahili phrase meaning their faces are human but their hearts are inhuman) feat Lady Jay D also did extremely well in the radio charts and helped push his album sales in the market.

Serious Business
In 2005 A.Y. released his second album 'Hisia Zangu' (my feelings) and the first single 'Yule' (That one)topped the charts.

The album included various collaborations with top East African Artistes like Prezzo,Tattuu and Deux Vultures(Kenyan Artistes),Maurice Kirya(Ugandan Artiste).This gave A.Y. more appeal and recognition in East Africa.

The second single off the album ?Binadamu’(Human Beings) was a huge hit in East Africa and was nominated for a Kora Award making A.Y. the first Tanzanian male artiste to be nominated for the award.

more serious business
After the release of the second album A.Y. 's popularity increased in East Africa and established him as a top artiste in the region.

In 2006 he got an endorsement deal with ?Konyagi’ one of the top selling liquors in Tanzania.This gave him huge visibility all over the country.

The endorsement deal opened more doors and he did various commercials with different companies like Coca-Cola,Vodacom, Celtel and Kilimanjaro Lager.

Style and Approach
Hip Hop music that talks about the daily issues and lifestyles of African's today.
The issues are conveyed in a witty yet entertaining style.
His music relates to and appeals to people of all ages.

Recognition
2005,Nominated for Best Male Artiste East and Central Africa at The Kora Awards for the single ?Binadamu’.
2006 Nominated for Best Male Artiste,Tanzania at Kisima Music Awards in Kenya.
2007 Received a Kilimanjaro Music Award for Best Hip Hop single.
2007 Received a Kisima Music Award in Kenya for Best Music Video-Tanzania.
2007 Received a Pearl of Africa Music Award for Best Hip Hop single.
2008 Received a Kilimanjaro Music Award for Best Collaboration.
2008 Received a Pearl of Africa Music Award for Best Male Artist-Tanzania.
Akon has repeatedly acknowledged A.Y.’s music and was particularly impressed by his style and sees him as the next rap artist from Africa to make it internationaly.
2010 Nominated for Best Video and Best Reggae Song at Kili Music Awards,Best Video at Teen Xtra Music Awars, ,Artiste of the Year,Best African Collaboration,Best East Africa song of the Year,Best Hip Hop Song,Best Male Artiste.
Received Best East African Artist at Chaguo La Teneez 2010


Achievements - 6 Awards to date.
Has had 14 hit singles all of which made it to number one in East Africa.
His biggest song to date is KINGS AND QUEENS.The song has won him various awards and international recognition the song talks about AFRICAN KINGS AND QUEENS
Another hit single ?Habari Ndio hiyo’ (that is the news)is currently number 10 on the radio express chart-Africa.
He various collaborations with top East African Artistes like Chameleone,Ngoni (Uganda) , Amani,Nameless,Juacali (Kenya),P.Square,J.Martins (Nigeria) and other.

What you didn’t know
Real name: Ambwene Yessayah
Style: Simple and Casual
Date of birth: 5th July
Star: Cancerian
Favorite Color: Blue
Favourite scent:DKNY
Inspiration:Dr. Dre

What's new
Has just launched his website www.ay.co.tz
One of his singles ?Binadamu’ will be featured in an African Compilation album soon to be released by Warner Music Africa.
Has just signed an endorsement deal to promote Uganda Waragi (liquor),Vodacom.
Is currently collaborations with Nigerian Artist J.Martins, American and South African artistes.


Performances
The launch of his four albums was a huge success and sponsored by Tanzania Cigarrette Company and invited international artists like Fat Joe, Eve, Shaggy and others.
Was one of the main artistes perfoming during a huge concert ?Music Against Aids' in Tanzania an intiative supported by Tanzanian government and U.S.A.I.D.
The Coke side of life tour in East Africa.
The Afro Arabs youth Festival in Uganda that had different artistes from all over Africa.
Zanzibar International Film Festival.
Sauti za Busara Festival
Perfomed for refugees of Rwanda and Burundi courtesy of U.N.H.C.R.
Tanzania was hourned this year to have the Olympic torch pass through their country, A.Y. was one of the few artistes selected to perform at the event.
Has also perfomed in East Africa,Rwanda Burundi,Dubai,South Africa,U.S.A and the U.K. Mtv Africa Music Awards 2009.
...................................................................................................................................................................

FID Q 


From when he dropped those infamous 16 bars on a featured track 'Ukweli na Uwazi' on the now classic Wachuja Nafaka album, Bongo HipHop was born again through the sharp lyricism of Fareed Kubanda aka Fid Q!!

'hamjajua mtakula nini halafu nyie mnaponda mali hivi hiyo ni nini,utajiri nguzo,ubahili hivi ndo mnavyoamini,mmesahau kiama ni nini au mmesahau mafunzo ya dini...' spits Fid Q with rapid raw delivery over Pfunk's heavy boom-bap back drop. Little did Bongo Flava enthusiast know how much trouble they gonna find themselves in by letting this humble hip-hopper through the golden gates..thats until FidQ.COM dropped!!

'Akupigaye ngumi ya jicho na we mpige ya sikio akikuuliza unaonaje na we mwulize anajisikiaje...' !! That level of cadence and nonchalance delivery, mixed with witty punchlines and simple-yet complex lyricism, had not been heard in the game since the passing of the Great D-Rob(RIP)! Phone calls were ringing across the globe, hiphop pioneers nodded in agreement and smiled proudly to the arrival of Hiphop saviour!!

Here was a kid with passion for the artform. Here was a complete MC, an all rounder who didn't rely on cheesy singy-song choruses to compose a hit. Here was a guy taking the risk and using 'Multi-syllabic rhyme schemes' in the audience that was getting soo lazy to analyse the realness of Hiphop!

In the era where bubblegum rap is prevalent and sugar coated rnb hooks define a hit, Fid Q is a breath of fresh air! In this oversaturated Bongoflava artform where 'nursery' rhymes earn you the title of 'King of Rhymes', Fid Q stands like a giant that no-one comes close to even stare in the eye! Who else can rock the stage with no gimmicks but pure lyrics? Who in this game stands by themselves amongst well established artists that come on stage with hundreds of tag-alongs just to boost their confidence? The self declared 'one man army' ( 'Fid Q ni jeshi la mtu mmoja') rolls on stage for Dolo and owns the show with enough flows to confuse water down a bendy stream.

When 'Chagua Moja' dropped, all the Nay-Sayers and those who thought the Kid was a fluke, had to bite their tongues. Those 8 bars (I still replay his verse 4 times before letting the others come in. No disrespect to Rhino,Adili and Langa cause they got busy too but I wish Fid Q did this song for Dolo). Blew that beat to smithereens!

'Fanya kazi kama mtumwa ili uje uishi kama mfalme, ukae au uchuchumae,umchukie au umpende akupendae,ufiche uchi au uvue chupi uzae...' Spits Fid Q with so much charisma you almost kick yourself for not thinking of these lines before him!

After ‘Chagua Moja’ Fid Q dropped ‘Mwanza Mwanza’ A track with a heavy Majani kicks and phat beat, fid Q laced the beat with his ill lyrics and impeccable metaphors. The track addressed the fans on some matters, like his longevity in the hip hop game and industry as a whole. He begins the track by saying

‘Nilianza rap kabla mototo wa Dandu hajafu,Sugu hajatoa Album,BoneLove hamjui Falsafa mlangoni msanii analipa, Professer anajiita Nigga’

After that track it was no doubt to the audience Fid was the one doing the music that was missing in the industry for far so long, and that was Hip Hop, Real Hip Hop.

It was no longer a buzz; everyone was just patiently waiting Fid Q to drop his highly anticipated LP known by ‘Vina Mwanzo Kati Na Mwisho’. Due to his humbleness and the need to trigger the fans demand, Fid released a single called ‘August 13’ followed by ‘Vina Mwanzo kati Na Mwisho’. It was like a blessing to the real Hip hop fans as the Album was a top-notch, filled with clever, smart word-play mixed with conscious lyrics. After ‘Vina Mwanzo Kati na Mwisho’ Fid was considered as a Hip Hop Messiah in Bongo.

His grind never ceased, the doors in other countries started opening widely, as he was recognized in another countries too and enabled him to conquer some features from other Countries artists,fd from Holland and Germany respectively.

Fid Q is the one and only artist from East Africa who managed to perform in the Big Brother house in South Africa and around the same year him and Witness managed to scoop an award for the best Video with Channel O.

Fid being Ambassador of Virus Free Generation in Tanzania, he did a track with a German artist known as Prinz Pi, a song goes by a germany title ‘Zu Hart’ which mean ‘So Hard’.

On his verse he begins with so much pain by saying ‘Hana tofauti na wale sweet 16 wa kwenye movie,Hips zake hasifichwi na jeans, but she’s stupid, sasa hawezi hata kufufill what God gave her, waliodata na zake sex-appeal walitenga fedha’

December 2008, Fid Q toured Germany with Prinz Pi and managed to perform on places like Berlin, Hamburg and Duisburg. During the same tour he took some footage for his track known as ‘I Am A Professional’, A track with all Hip Hop elements, a heavy beat with massive scratches, a well sampled chorus embraced with sharp and raw delivery of plenty metaphors.

Now that Fid has released 'Usinikubali Haraka'(his latest single), fans are asking 'where is the album'? Anticipation of his 2nd album is beyond any solo artist in many years. Release date is set to be as big as Mandela's (get it?)....Real hiphop fans are hungry for those clever, thought-provoking, smart word-play mixed with so many conscious lyrics that make Fid Q almost prophetic without preaching.


Fid assured his fans that the album known as PROPAGANDA will be released on the third week of July 2009. As for the time being he is caught up with his ambassadorial duties, busy working with Staying Alive Project in the southern part of Tanzania.

Fid Q is featured on a Ngweair track known as CNN, the single in which is in heavy rotation for the moment, Fid blessed the track with a lil different flow and sharp lyrics as usual, he begins by flowing like this..

‘Usiniite halfman, niite man and a half, you think small and you remain Small for life, hatuwezi piga same instrument but we can all be in the same key son, experience makes a person better or bitter, naweza flow slow lakini brain ina speed up’

Due to highly increasing number of fans nationally and internationally, Fid has been active on his pages like Myspace ( http://myspace.com/fidq ) and his fan page in facebook under his name FID Q.

PROPAGANDA will be filled with tracks like Street Report, I Am A Professional, and Usinikubali Haraka and many others as surprises, Need i say more?...if you passionate about Hiphop try listening to those songs and wait in anticipation for 'PROPAGANDA' Fid Q's album coming out soon. Let’s wait to enjoy the benefits of leaving ahead of our time, The FUTURE is here!
.........................................................................................................................................................................
PROFESSOR J-

Joseph Haule (born December 29, 1975), popularly known as Professor Jay, is a Tanzanian hip hop artist. He is one of the prominent representants of the "Bongo Flava" Tanzanian hip hop subgenre, which mixes elements from both Western hip hop and the Tanzanian tradition (including swahili lyrics as well as an activist attitude towards Tanzanian social issues such as HIV/AIDS, wealth, inequality, and political corruption).
He started rapping in 1994 as a member of the group Hard Blasters, best known for their hit "Chemsha Bongo" (then he used stage name Nigga J) from their first album, "Funga Kazi". Only one year later, they won the title of best hip-hop group in Tanzania.

During his solo career which he started in 2001, he has released number of hits, including "Nikusaidiaje" and "Zali la Mentali (feat Juma Nature)". Other songs released by Professor Jay include "Piga Makofi" and "Yataka Moyo". Just like Mr. II, he is a pioneering Tanzanian MC, who have remained some of the most popular hip hop musicians in Tanzania, despite influx of many new bidders. Also similar to Mr. II his lyrics often have political messages. In one of his songs he imitates an elder politician and ridicules the fake promises they all mindlessly spew as they are trying to get elected. The song continues with a chorus saying the words "Ndio Mzee" which means "Yes Elder". This represents the brain washing of the public as politicians make these false promises over and over. It is interesting to note however, that after this song was produced, the president of Tanzania referenced the lyrics in one of his speeches, which acknowledged the presence of Bongo Flava and the success of Professor Jay's political lyrics.
His first album, "Machozi, Jasho na Damu," gained instant recognition for which Professor Jay won several awards. He attained other awards such as the best hip-hop album in Tanzania with his second album, "Mapinduzi halisi".
Professor Jay's songs include Nikusaidiaje (featuring Ferooz), Nimeamini (featuring Lady Jaydee), Inatosha (featuring Sugu), Vuta raha (featuring Ferooz), Border kwa border (featuring Nazizi), Heka heka za star, Interlude, J.O.S.E.P.H., Nisamehe (featuring Banana), Wapi nimakosea, Una, Hakuna Noma, Jina Langu, Bongo Dar es Salaam, Piga Makofi, Msinitenge, Sio Mzee, Zali la Mentali, Nidivyo Sivyo, Mtazamo (featuring Afande Sele and Solo Thang), Hapo Sawa. Professor Jay is featured on Nonini's song "Kumekucha" 
His former group Hard Blasters is set for a comeback in 2009. The new lineup will consist of Professor Jay, Big Willy and Fanani. They will release a new album
SOLO ALBUMS
  • Machozi Jasho na Damu 2001
  • Mapinduzi Halisi 2003
  • J.O.S.E.P.H 2006
  • Aluta Continua 2007
AWARDS
 
.................................................................................................................................................................

Biography

Mwana FA - a.k.a Hamis Mwinjuma


Background
 His performance and lyrical content have made him one of the famous hip-hop artists in Tanzania, Hamis Mwinjuma aka MwanaFalsafa rose to fame with the release of his first solo single ‘Ingekuwa Vipi’ in 2002, the track entered the top ten numbers in various radio stations in Tanzania.

He plunged into the music career by performing on stage in 1993 when he was still a Standard Seven pupil at Mdote Primary School in Muheza, Tanga. Before that in 1990, he and his brother were transferred to Tanga Region where they completed primary school at Mdote in Muheza. During those days, his brother used to imitate other people’s lyrics by writing them down and performing at school. When he was still in Form Two, Mwanafalsafa managed to form a crew known as Black Skin with his schoolmates Robilus and Getheerics in 1995-97. In 1996, he managed to clinch the third position in the Tanga region hip-hop competition.

Mwanafalsafa returned to Dar es Salaam in 1998 and joined the Dar es Salaam Institute of Technology (DIT), where he studied for four months. However, he quit DIT to pursue A-level studies at Ununio Islamic High School, where he majored in Physics, Chemistry and Mathematics (PCM). After completing A-level studies, in August 2000 he plunged seriously into the world of music by composing lyrics while waiting for DJ Bonie Love of Mawingu Records to start producing his music. Under Mawingu Records, he has managed to release his debut album known as Mwanafalsafani in 2002. The success of 'Alikufa kwa Ngoma', an anti AIDS song saw him receiving recognition at the 2003 Kilimanjaro Music Award as Best Hip hop Artist of the Year in Tanzania.

He has since released three albums to date with the current album ‘Unanitega’ grabbing the Best Hip hop Album award at the Kilimanjaro Music Awards 2006. In 2007, Mwanafalsafa and fellow Tanzanian rapper AY collaborated on a joint album titled, ‘Habari Ndio Hiyo’. The following year, the 2008 Kilimanjaro Music Awards panel awarded him the Best Lyricist award as well as Best Collaboration Song award for the track 'Habari Ndio Hiyo'.
.............................................................................................................................

Biography forRihanna

Date of Birth
20 February 1988, St. Michael, Barbados
Birth Name
Robyn Rihanna Fenty
Nickname
RiRi
Caribbean Queen
The Barbados Babe

 
Height
5' 8" (1.73 m)
Mini Biography
Rihanna was born in a parish in Barbados called St. Michael. She lived the life of a normal island girl going to Combermere, a top sixth form school. Rihanna won numerous beauty pageants and performed Mariah Carey "Hero" in a school talent show. Her life changed forever when one of her friends introduced her to Evan Rodgers, a producer from New York who was in Barbados for a vacation with his wife, who is a native. Rodgers arranged for her to go to New York to meet Jay-Z, CEO of Def Jam Records. He heard her sing and knew she was going to be incredibly successful. She was 16 when she was signed to Def Jam. Since then, she's amassed phenomenal success.
IMDb Mini Biography By: Loud_Child


Trade Mark
Leather outfits
Ever changing hairstyles
Bright red hair
Bajan accent
Revealing outfits
Her tattoos


Trivia
Was signed to Def Jam Records
Her musical inspirations include Alicia Keys, 'Beyonce Knowles' and Destiny's Child, Madonna, Mariah Carey, Janet Jackson, Whitney Houston, Gwen Stefani, Bob Marley and Brandy Norwood.
Attended Combermere which is a sixth form school similar to high school in America.
Performed Mariah Carey's "Hero" at her school's talent show.
Won a beauty pageant at her school.
Born to a black Barbadian father Ronald Fenty and a black Guyanese mother Monica Fenty.
She has two younger brothers Rorrey and Rajad.
Stated in an interview that her friend and former Island Def Jam record label artist Fefe Dobson was someone that she admired and looked up to. Having a fellow black artist writing, singing, and performing the music she truly loves.
Ranked #8 on the Maxim magazine Hot 100 of 2007 list.
Sampled "Wanna Be Startin' Somethin' " by Michael Jackson from his " Thriller" album in her song "Please Don't Stop the Music".
Ranked #15 on the Maxim magazine Hot 100 of 2008 list.
According to Fashion Lifestyle she's had over 150 hairstyles since her music career took off in 2005. Her trademarks are her Long Straight Brown (2006), Medium Length Black Bob (2007) and Short Cropped look (2008).
Made an estimated $15,000,000 in 2008. (Source) - Forbes Magazine.
Was tagged "The Digital Download Queen" due to her songs being downloaded over 75,000,000 times combined.
Her 3rd studio album 'Good Girl Gone Bad' (2007) was the 3rd highest selling album in the world in 2007 and was the 8th highest 2008. It has sold just under 8 million copies worldwide and has spawned 3 number one Hot 100 hits and 2 worldwide number ones.
Appeared on the cover of Italian Vogue for there "Extreme Couture" edition. [September 2009].
Her ex-boyfriend, Chris Brown, was sentenced to five years of probation, six months of community service and one year of domestic violence counseling as a result of his attack on her in February, 2009 [August 29, 2009].
Is good friends with Katy Perry.
Her 3rd single 'Rude Boy', from her 4th studio album 'Rated R', became her sixth US number one single. This makes her the most successful female artist of the last 10 years.
She and then-boyfriend Chris Brown canceled their performance at the Grammys in February 2009 just hours before the show started after Brown was caught up in a late-night domestic dispute, which later turned out to be a physical attack on Rihanna.
She's the highest paid female celebrity to sit front row at fashion shows. She's paid an estimated $100,000, followed by Beyoncé Knowles, who is estimated at $80,000.
Is a big fan of Depeche Mode, The Prodigy and Chase & Status. She worked with Chase & Status on her album "Rated R" after calling member Saul Milton up at 3 AM.
Selling 62 million records since 2005, she's the most successful artist over the last decade. She also is the first ever artist ever to have 5, 3X platinum selling digital singles.
Broke her own record by scoring her 7th US number one. "Love The Way You Lie" with Eminem became her 7th number one single in 5 years. This gives her the most number ones from an artist in the last 10 years.
Has attained nine number one Hot 100 singles. Three of them were achieved in 2010. She become the only female in American history to have her first single to go number one after the second. [Febuary 2011].
In the UK, she became the only female; and the only artist in 52 years to have three top ten songs at once on the 'UK Official Chart'. She also became the first female artist; in the history of the chart, to have a number one in five consecutive years.
She has Seven number one singles in Australia as of Febuary 2011, making her the only non Australian artist to do so in the last 20 years.
Her 5th studio album 'Loud', sold 2.8 million copies worldwide in 3 months. The album also marks the launch of her business "Rihanna Entertainment"[Febuary 2011].
Billboard named Rihanna the Digital Songs Artist of the 2000s decade.
Is worth an estimated $143 million. [Forbes Febuary 2011].
Her controversial music video for "S&M", was banned in 11 countries within a day of it's release. This is Rihanna's second video to cause controversy as "Te Amo" was banned in many countries due to its same-sex nature.
As of March 1st, she's reached over 1.2 billion YouTube views on her official Vevo page.
Q Magazine named her one of the top 100 acts of the last century. [November 2009].
Became the youngest black female to grace the cover of American-Vogue [March 2011].
The song S&M featuring Britney Spears become her 10th No. 1 song on Billboard Hot 100.
At the 2011 BET awards, Rihanna was mistakenly announced as the winner of the Viewer's Choice Award. The actual winner was her ex-boyfriend Chris Brown, who later received the award.
Ranked #43 in the 2010 FHM UK list of "100 Sexiest Women in the World".
Named "Sexiest Woman" for 2011 by Esquire magazine [October 12, 2011]. Esquire gives the title of "sexiest woman" to a different celebrity each year.
While filming a music video for her song "We Found Love" in Ireland, the farmer whose land was borrowed as a setting for the video, asked the crew to stop filming and leave the land after he objected to Rihanna's revealing outfits and state of undress, which he deemed as "inappropriate". (2011).
She has 14 tattoos so far in 2011.
In a 2011 interview with Esquire, Rihanna stated that she is a fan of the music by Chris Brown.
"We found love" is her 11th number one song.
Friends with Beyoncé Knowles and Jay-Z.
Organised a bachelorette party for her close friend Katy Perry in 2010.
In the 2011 Billboard online poll, Rihanna's song "We Found Love" was voted as the 3rd Best Music Video for 2011 (receiving 11% of all votes), behind "Till the World Ends" by Britney Spears (45% of all votes), and "Born This Way" by Lady Gaga (23% of all votes). Rihanna also won for Best Awards Show Performance with Britney Spears at the 2011 Billboard Music Awards.
In 2012 she collaborated with Chris Brown. On February 20 2012 (her 24th Birthday), Rihanna released the remix of her fourth single 'Birthday Cake', featuring Chris Brown. The single comes from her album 'Talk That Talk.' Brown also released a remix of his song 'Turn up the Music' featuring Rihanna.
Named one of "The Most 100 Influential People In The World" - in 2012 by Time Magazine.
Ranked 4th on Forbes Celebrity 100 in 2012, with earnings of $53 million.


Personal Quotes
I love the high-risk (guys). I don't like cream puff, corny guys. Usually they are the nice guys, the ones that won't hurt you. They'll pull out the chair for you and the whole nine yards. Everything is perfect and boring. I like the risk, I like the edge. That's the thrill for me.
[on Fashion] Wear the clothes. Don't let them wear you.
[on Jesse Williams] Jesse, who's in my music video for 'Russian Roulette', is so hot!
I love flirting at the moment. I'm single and I'm enjoying my freedom. But I don't give my phone number out that often. But if I'm dating, I check the boy from the top to the bottom.
[on what a man needs to impress her] He has to be good in bed and the size matters. You know what I mean? The inner beauty counts as well, but without a toy it doesn't make it fun.
[on her musical sound change] Everyone was really surprised when i started liking new things and changing my image. I was 16 when i was signed and i'm 22 now. My musical taste and image is going to change naturally. It's not forced, i do what comes natural to me. Sometimes i like to be dark... other times i like to be really light and lady-like.
[on size zero models] Being a size zero is a career in itself so we shouldn't try and be like them, it is not realistic and it is not healthy. You shouldn't be pressured into trying to be thin by the fashion industry, because they only want models that are like human mannequins. They know that if we see an outfit on a mannequin in a shop window we will love it and want to buy it whatever size we are. That's why they have size zero models - they want to sell clothes. But you have to remember that it's not practical or possible for an everyday woman to look like that."
[on Homophobia] I know that a large part of my fanbase is gay. They've shown me love from the start. I mean in this industry, everyone from my glam people to my dancers are gay. You can't be homophobic in this line of work, i'm a popstar! It hurts me when i read fan mail from a fan who have been called names for liking me.
My weight fluctuates, but I don't weigh myself every day. I'm 5ft 8in and weigh around 9st 7lb.
[on Cheryl Cole] I think she is the most beautiful woman I have ever seen. Like, how do you have a face like that, with hair like that and dimples, and a body like that, that's proportioned like that? And you have a successful career, something about that is not right.
[on Russell Brand] I first met him when he was interviewing me on TV. I was sick and it was the worst interview I have ever done... Nothing was funny to me. I thought it was the most stupid interview I ever did in my life. Why am I talking to this idiot? He made me want to throw up again.
I spend more time over there (in London) than I spend in L.A., and that's where I live. London is more like my home.
[on doing a duet with Katy Perry] We're actually working on some music together - hell yeah. I would love to tour with Katy. She's a rock star. And when I see her live, she just brings such a fun vibe, like a colorful rock star.
[on planning Katy Perry's bachelorette party] I have to come up with something cool, because she's getting married in India. So I'm like, 'OK, now what do I do to match that?' That's at the end of the year, so we've got some time to plan that.
[on Katy Perry] When I first met her, her personality was so on point, I felt like she had no edit button, she was really fun and had a great sense of humor.
[on missing her friend, Katy Perry's wedding] I will never ever forgive myself for that, it was a crazy time, it was a crazy week. I'm switching management. I'm really sad that I missed it.
[on having children] I don't really plan on the age. It could be a year from now. It could be 10 years from now. Whenever is right. I mean, I have a lot of other stuff to accomplish before I get to kids. Whenever the time is right, I'll just know. If I had a girl, she'd probably be really rebellious. She would be like a bundle of karma. I would love to bring them up in Barbados.
I definitely think a child deserves both parents. It would be selfish of me, because of my pride and independence to say, 'Oh, I just want a sperm donor, because I can do it myself.' I can do it myself, but that's not fair. I'm just saying that whatever comes my way I'll be able to handle it, but in a perfect book, there would be marriage and kids.
(jokingly responding when being questioned about a rumored relationship) I hate to burst your bubble but I'm dating girls!
[on collaborating with Britney Spears]: I asked my fans last week who they wanted me to collaborate with, and Britney was one of the most popular names. It's very strange because Britney never does features. It was really amazing that she really wanted to be part of this song. She really liked the song to begin with, but it was a different story when she had to sing it, and she really wanted to be a part of it. So it made it really, really special, because you never see two pop female artists doing songs together any more. Just call us 'R&B'.
[on Chris Brown] It's incredible to see how he pulled out of it the way he did. Even when the world seemed like it was against him, you know? I really like the music he's putting out. I'm a fan of his stuff. I've always been a fan. Obviously, I had some resentment toward him for a while, for obvious reasons. But I've put that behind me. It was taking up too much of my time. It was too much anger. I'm really excited to see the breakthrough he's had in his career. I would never wish anything horrible for him. Never. I never have. (2011).
I think that Madonna was a great inspiration for me, especially on my earlier work. If I had to examine her evolution through time, I think she reinvented her clothing style and music with success every single time. And at the same time remained a real force in entertainment in the whole world.
[on recording music with Chris Brown in 2012] I reached out to him about doing 'Birthday Cake' because that's the only person that really - it made sense to do the record. Just as a musician - despite everything else - that was going to be the person. You know I thought about rappers, and I've done that so many times, and the hottest R&B artist out right now is Chris Brown. So I wanted him on the track, and then in turn he was like 'Why don't you do the remix to my track?' and it was a trade off. We did two records. One for my fans. One for his fans, and that way our fans can come together. There shouldn't be a divide. You know? It's music, and it's innocent.
[on her weight loss in 2012] The Five Factor Diet has gone straight out the window ever since I went on tour. I mean, It's difficult to have any kind of routine when your schedule is that crazy. So I really have no idea how I'm continuously losing weight. It's actually pretty annoying, because now I don't have a butt, and I have no boobs. I already had no boobs to start with. So annoying! and I'm eating everything! (March, 2012)
[on some people criticizing her reunion with Chris Brown after the two recorded music together in 2012] I respect what other people have to say. The bottom line is that everyone thinks differently. It's very hard for me to accept, but I get it. People end up wasting their time on the blogs or whatever, ranting away, and that's all right. I don't hate them for it. Because tomorrow I'm still going to be the same person. I'm still going to do what I want to do.
[when asked if she is at ease posing in revealing clothing] Totally, especially when it's Photoshopped. I'm comfortable in my underwear around the right people.
My mother would kill me if I posed nude. She raised me with certain standards.
LILY WYNE YONG MONEY BOSS Dwayne Michael Carter, Jr. amezaliwa tar. 27 Septemba, 1982 ni mshindi wa Tuzo za Grammy- akiwa kama rapa wa muziki wa hip hop bora kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Lil Wayne. Alijiunga na studio ya Cash Money Records akiwa bado yungali bwana mdogo na akabahatika kufanya rekodi kadhaa katika studio hiyo. Wayne alikuwa mmoja kati ya waliokuwa wanachama wa kikundi cha muziki wa rap cha Hot Boys. Maisha ya awali Alizaliwa kama Dwayne Michael Carter, Jr. na kukulia mjini Hollygrove karibu kidogo na mji wa New Orleans, Louisiana. Akiwa na umri wa miaka kumi na moja, akakutana na Bryan Williams, rapa na ndiyo mmiliki wa studio ya Cash Money Records. Baada ya makutano hayo, Wayne akarekodi rap flani ya michano katika studio hiyo ya Williams kwa kutumia chombo maalum cha kuweza kukujibu wakati unachana. Na kwa bahati nzuri michano hiyo ilimwacha hoi mmiliki huyo wa studio na kuthubutu hata kumwingiza Wayne katika studio yake. Wayne pia ana mtoto wa kike mmoja aitwaye Reginae Carter, aliyezaa na Bi. Antonia "Toya" Johnson, demu wake wa kitambo toka shule. Wawili hao walikuja kuoana wakati ule wa Siku Kuu ya Wapendanao ya mwaka wa 2004, lakini wawili hao walikuja kutarikiana mnamo mwaka wa 2006. Muziki Albamu za Lil Wayne Albamu za Lil Wayne  1999: Tha Block Is Hot  2000: Lights Out  2002: 500 Degreez  2004: Tha Carter  2005: Tha Carter II  2008: Tha Carter III EP albums 2007: The Leak Filamu  Baller Blockin (2000)  Who's Your Caddy? (2007)  Fast and Furious (2009) (inakuja)  The Boondocks in the "Invasion of the Katrinians" sehemu ya (2007)  "Access Granted" (2007)  Hurricane Season (inakuja)  Lil Wayne Documentary (2009) (inakuja




No comments:

Post a Comment

CONTACT DIRECT TO THE PROFESSIONAL

send

action="mailto:mbwigadavid@gmail.com

HNU FIRST YEAR

HNU FIRST YEAR DOWLOAD MATERIAL YENU HAPA CHINI
HNU 2 YEAR DOWNLOAD MATERIAL YENU HAPA CHINI
DOWNLOAD HAPA CHININUTRITIONAL PROGRAMS ZOTE

who anthro plus setup

who anthro setup

ena setup

MWAKA WA TATU DOWNLOAD MATERIAL YENU HAPA CHINI